Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 8:15 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

15 Akawaagiza, akisema, Angalieni, jihadharini na chachu ya Mafarisayo na chachu ya Herode.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Yesu akawaonya, “Angalieni sana! Jihadharini na chachu ya Mafarisayo na chachu ya Herode.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Yesu akawaonya, “Angalieni sana! Jihadharini na chachu ya Mafarisayo na chachu ya Herode.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Yesu akawaonya, “Angalieni sana! Jihadharini na chachu ya Mafarisayo na chachu ya Herode.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Isa akawaonya: “Jihadharini na chachu ya Mafarisayo na ya Herode.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Isa akawaonya: “Jihadharini na chachu ya Mafarisayo na ya Herode.”

Tazama sura Nakili




Marko 8:15
21 Marejeleo ya Msalaba  

WAKATI ule Herode tetrarka alisikia khabari za Yesu,


Maana Herode alikuwa amemkamata Yohana, akamfunga, akamtia gerezani, kwa ajili ya Herodias, mke wa Filipo ndugu yake.


Hatta panapo siku kuu ya kuzaliwa kwake Herode, binti Herodias alicheza kati ya watu, akampendeza Herode.


Yesu akawaambia, Angalieni, jihadharini na chachu ya Mafarisayo na Masudukayo.


Wakatuma kwake baadhi ya Mafarisayo na Maherodiano, illi wamnase kwa maneno.


Wakasahan kuchukua mikate, wala chomboni hawana illa mkate mmoja tu.


Wakabishana wao kwa wao, kwa kuwa hawana mikate.


Akawaambia, Angalieni, jilindeni na kutamani, maana uzima wa mtu hautoki katika mali zake, kwa sababu ana wingi wa mali.


Nakuagiza mbele za Mungu, na mbele za Bwana Kristo Yesu, na mbele ya malaika wateule, yatende hayo pasipo kuhukumu kwa haraka; usifanye neno lo lote kwa upendeleo.


Nakuagiza mbele za Mungu avipae vitu vyote uzima, na mbele za Kristo Yesu aliyeungama maungamo yale mazuri mbele ya Pontio Pilato,


Uwakumbushe bayo, ukiwaonya katika Bwana, wasiwe na mashindano ya maneno, yasiyo na faida, bali huwaharibu wasikiao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo