Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 8:13 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

13 Akawaacha, akapanda tena chomboni, akaenda zake hatta ngʼambu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Basi, akawaacha, akapanda tena mashua, akaanza safari kwenda ngambo ya pili ya ziwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Basi, akawaacha, akapanda tena mashua, akaanza safari kwenda ngambo ya pili ya ziwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Basi, akawaacha, akapanda tena mashua, akaanza safari kwenda ng'ambo ya pili ya ziwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Kisha akawaacha, akarudi kwenye mashua, akavuka hadi ng’ambo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Kisha akawaacha, akarudi kwenye mashua, akavuka hadi ng’ambo.

Tazama sura Nakili




Marko 8:13
15 Marejeleo ya Msalaba  

Waacheni hawo; ni vipofu, viongozi wa vipofu. Na kipofu akimwongoza kipofu mwenzake, watatumhukia shimoni wote wawili.


Msiwape mbwa kilicho kitakatifu, wala msitupe lulu zenu mbele ya nguruwe, wasije wakazikanyaga chini ya miguu yao, wakageuka na kuwararueni.


Akaugua rohoni mwake, akanena, Mbona kizazi hiki chatafuta ishara? Amin, nawaambieni, Hakitapewa ishara kizazi hiki.


Wakasahan kuchukua mikate, wala chomboni hawana illa mkate mmoja tu.


Na watu wote wa inchi ya Wagadarene iliyo kando kando wakamwomba aondoke kwao, kwa sababu walishikwa na khofu nyingi; bassi akakiingia chombo akarudi.


Maadam mnayo nuru, iaminini nuru, mpate kuwa wana wa nuru. Hayo aliyasema Yesu, akaenda zake akajificha nao.


Bassi Yesu akawaambia tena, Mimi naondoka, nanyi mtanitafuta, na mtakufa katika dhambi yenu: niendako mimi, ninyi hamwezi kuja.


Walipopingamana nae na kutukana, akakungʼuta mavazi yake, akawaambia, Damu yenu na iwe juu ya vichwa vyenu: mimi ni safi: langu sasa nitakwenda kwa watu wa mataifa.


Tukapanda katika merikebu ya Adramuttio iliyokuwa tayari kusafiri hatta miji ya pwani za Asia, tukatweka; Aristarko, Mmakedoni wa Thessalonika, akiwa pamoja nasi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo