Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 7:8 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

8 Kwa maana mmeiacha amri ya Mungu, na kuzishika hadithi za wana Adamu, kuosha midumu na vikombe: na mengine mengi ya namna hii mwayafanya.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Nyinyi mnaiacha amri ya Mungu na kushikilia maagizo ya watu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Nyinyi mnaiacha amri ya Mungu na kushikilia maagizo ya watu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Nyinyi mnaiacha amri ya Mungu na kushikilia maagizo ya watu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Ninyi mmeziacha amri za Mungu na kushika desturi za watu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Ninyi mmeziacha amri za Mungu na kushika desturi za watu.”

Tazama sura Nakili




Marko 7:8
4 Marejeleo ya Msalaba  

Bassi wale Mafarisayo na waandishi wakamwuliza, Mbona wanafunzi wako hawaendi kwa kuzifuata hadithi za wazee, bali hula chakula kwa mikono najis?


nami nalitangulia katika dini ya Kiyahudi kuliko wengi walio hirimu zangu katika kabila yangu, nikajitahidi sana katika kushika mapokeo ya baba zangu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo