Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 7:7 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

7 Lakini waniabudu ibada ya burre, Wakifundisha mafundisho yaliyo maagizo ya wana Adamu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Kuniabudu kwao hakufai, maana mambo wanayofundisha ni maagizo ya kibinadamu tu.’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Kuniabudu kwao hakufai, maana mambo wanayofundisha ni maagizo ya kibinadamu tu.’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Kuniabudu kwao hakufai, maana mambo wanayofundisha ni maagizo ya kibinadamu tu.’

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Huniabudu bure, nayo mafundisho yao ni maagizo ya wanadamu tu.’

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Huniabudu bure, nayo mafundisho yao ni maagizo ya wanadamu tu.’

Tazama sura Nakili




Marko 7:7
15 Marejeleo ya Msalaba  

Nao waniabudu ibada ya burre. Wakifundisha mafundisho yaliyo maagizo ya wana Adamu.


Mkiwa katika kusali, msipayukepayuke, kama watu wa mataifa; maana wao hudhani ya kuwa watasikiwa kwa sababu ya maneno yao kuwa mengi.


tena kama Kristo hakufufuliwa, bassi, kukhubiri kwetu ni burre na imani yenu ni burre.


Bassi, ndugu wapendwa, mwe imara, msiotikisika, mkizidi sana kutenda kazi ya Bwana siku zote, kwa kuwa taabu yenu siyo burre katika Bwana.


(Mambo hayo yote huharibika wakati wa kutumiwa), mkifuata maagizo na mafundislio ya wana Adamu?


Maswali ya upuzi, na vitabu vya nasaba, na magomvi, na mashindano ya sharia, ujiepushe nayo. Kwa kuwa hayana faida, tena hayana maana.


Mtu akidhani ya kuwa ana dini, nae hazuii ulimi wake kwa khatamu, akijidanganya moyo wake, dini yake mtu yule haifai.


Lakini wataka kujua, wewe mwana Adamu usiye kitu, kwamba imani pasipo matendo haizai?


Namshuhudia killa mtu ayasikiae maneno ya unabii wa kitabu hiki, Mtu aliye yote akiyaongeza, Mungu atamwongezea mapigo yaliyoandikwa katika kitabu hiki.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo