Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 7:23 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

23 Haya yote yaliyo maovu yatoka ndani, nayo yamtia mtu najis.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Maovu hayo yote yatoka ndani ya mtu, nayo humtia mtu unajisi.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Maovu hayo yote yatoka ndani ya mtu, nayo humtia mtu unajisi.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Maovu hayo yote yatoka ndani ya mtu, nayo humtia mtu unajisi.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Maovu haya yote hutoka ndani ya mtu, nayo ndiyo yamtiayo mtu unajisi.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Maovu haya yote hutoka ndani ya mtu, nayo ndiyo yamtiayo mtu unajisi.”

Tazama sura Nakili




Marko 7:23
8 Marejeleo ya Msalaba  

Hapana kitu kilicho nje ya mtu ambacho kikimwingia chaweza kumtia najis, bali vimtokayo, ndivyo vimtiavyo najis yule mtu.


Akawaambia, Hivi na ninyi hamna akili? Hamfahamu ya kuwa killa kitu kilicho nje ya mtu, kikimwingia, hakiwezi kumtia najis;


Akanena, Kimtokacho mtu ndicho kimtiacho najis.


wizi, uuaji, tamaa mbaya, hila, jeuri, kijicho, matukano, kiburi, upumbafu.


Akaondoka huko, akaenda zake hatta mipaka ya Turo na Sidon. Akaingia katika nyumba, akataka isijulikane na mtu; lakini hakuweza kustirika.


Kama mtu akiiharibu hekalu ya Mungu, Mungu atamharibu mtu huyo. Kwa maana hekalu ya Mungu ni takatifu, ambayo ni ninyi.


Vitu vyote ni sali kwao walio safi: lakini hapana kilicho safi kwa walio najis, wasioamini, bali akili zao na nia zao pia zimekuwa najis.


Kadhalika na hawa, katika kuota kwao, huutia mwili uchafu, hukataa kutawaliwa, hutukana matukufu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo