Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 7:20 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

20 Akanena, Kimtokacho mtu ndicho kimtiacho najis.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Akaendelea kusema, “Kinachotoka ndani ya mtu ndicho kinachomtia unajisi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Akaendelea kusema, “Kinachotoka ndani ya mtu ndicho kinachomtia unajisi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Akaendelea kusema, “Kinachotoka ndani ya mtu ndicho kinachomtia unajisi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Akaendelea kusema, “Kile kimtokacho mtu ndicho kimtiacho unajisi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Akaendelea kusema, “Kile kimtokacho mtu ndicho kimtiacho unajisi.

Tazama sura Nakili




Marko 7:20
12 Marejeleo ya Msalaba  

Bali vitokavyo kinywani vyatoka moyoni; navyo ndivyo vimtiavyo najis mwana Adamu.


Akajibu akasema, Imeandikwa, Mtu hataishi kwa mkate tu, illa kwa killa neno litokalo katika kinywa cha Mungu.


Hapana kitu kilicho nje ya mtu ambacho kikimwingia chaweza kumtia najis, bali vimtokayo, ndivyo vimtiavyo najis yule mtu.


Kwa maana ndani ya mioyo ya watu hutoka mawazo mabaya, zina, asharati,


Haya yote yaliyo maovu yatoka ndani, nayo yamtia mtu najis.


Bali yeye, ambae uzazi wake haukuhesabiwa kuwa umetoka kwa hao, alitwaa sehemu ya kumi kwa Ibrahimu, akambariki yeye aliye na ile ahadi.


Kaangalieni jinsi moto mdogo uwasbavyo kuni nyingi sana. Nao ulimi ni moto, ulimwengu wa uovu. Ndio khabari ya ulimi katika viungo vyetu, huutia najis mwili wote, huliwasha moto gurudumu la maumbile, nao huwashwa moto na jehannum.


VITA na mapigano yaliyoko kati yenu yatoka wapi? Si humo, katika tamaa zenu zifanyazo vita katika viungo vyenu?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo