Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 7:17 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

17 Hatta alipoingia nyumbani, amewaacha makutano, wanafunzi wake wakamwuliza khabari za ule mfano.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Alipouacha umati wa watu na kuingia nyumbani, wanafunzi wake walimwuliza maana ya huo mfano.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Alipouacha umati wa watu na kuingia nyumbani, wanafunzi wake walimwuliza maana ya huo mfano.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Alipouacha umati wa watu na kuingia nyumbani, wanafunzi wake walimwuliza maana ya huo mfano.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Baada ya Isa kuacha ule umati wa watu na kuingia ndani, wanafunzi wake wakamuuliza maana ya mfano ule.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Akiisha kuuacha ule umati wa watu na kuingia ndani, wanafunzi wake wakamuuliza maana ya mfano ule.

Tazama sura Nakili




Marko 7:17
10 Marejeleo ya Msalaba  

Wakaja wanafunzi, wakamwambia, Kwa nini wasema nao kwa mifano?


Kisha Yesu akawaacha makutano, akaingia nyumbani: wanafunzi wake wakamwendea, wakinena, Tufafanulie mfano wa magugu ya konde.


Petro akajibu, akamwambia, Tueleze mfano huo. Yesu akasema,


AKAINGIA Kapernaum tena, baada ya siku kadha wa kadha, ikasikiwa ya kwamba yumo nyumbani.


Kiisha wakaingia nyumbani; makutano wakakusanyika tena, wao wenyewe wasiweze kula hatta mkate.


Alipokuwa peke yake, watu waliomzunguka, na wale thenashara wakamwuliza khabari za ule mfano.


wala pasipo mfano hakusema nao: akawaeleza wanafunzi wake mambo yote kwa faragha.


Mtu akiwa na masikio ya kusikilia, na asikie.


Akawaambia, Hivi na ninyi hamna akili? Hamfahamu ya kuwa killa kitu kilicho nje ya mtu, kikimwingia, hakiwezi kumtia najis;


Hatta alipoingia nyumbani, wanafunzi wake wakamwuliza kwa faragha, Mbona sisi hatukuweza kumfukuza?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo