Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 7:14 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

14 Akawaita makutano tena, akawaambia, Nisikieni nyote, fahamuni.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Yesu aliuita tena ule umati wa watu, akawaambia, “Nisikilizeni nyote, mkaelewe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Yesu aliuita tena ule umati wa watu, akawaambia, “Nisikilizeni nyote, mkaelewe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Yesu aliuita tena ule umati wa watu, akawaambia, “Nisikilizeni nyote, mkaelewe.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Isa akaita tena umati ule wa watu, akawaambia, “Nisikilizeni nyote, na mwelewe jambo hili.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Isa akaita tena ule umati wa watu, akawaambia, “Nisikilizeni, kila mmoja wenu na mwelewe jambo hili.

Tazama sura Nakili




Marko 7:14
14 Marejeleo ya Msalaba  

Akawaita makutano akawaambia, Sikieni, mfahamu:


mkilitangua neno la Mungu kwa hadithi yenu mliyohadithia; tena mwafanya mambo mengi yaliyo sawasawa na hayo.


Hapana kitu kilicho nje ya mtu ambacho kikimwingia chaweza kumtia najis, bali vimtokayo, ndivyo vimtiavyo najis yule mtu.


HUKO nyuma mkutano wa watu, watu elfu nyingi walipokusanyika hatta wakakanyagana, akaanza kuwaambia wanafunzi wake khassa, Jihadharini na chachu ya Mafarisayo, yaani unafiki.


Bassi Filipo akaenda mbio, akamsikia anasoma chuo cha nabii Isaya: akanena, Je, yamekuelea haya unayosoma?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo