Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 7:13 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

13 mkilitangua neno la Mungu kwa hadithi yenu mliyohadithia; tena mwafanya mambo mengi yaliyo sawasawa na hayo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Hivyo ndivyo mnavyodharau neno la Mungu kwa ajili ya mafundisho mnayopokezana. Tena mnafanya mambo mengi ya namna hiyo.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Hivyo ndivyo mnavyodharau neno la Mungu kwa ajili ya mafundisho mnayopokezana. Tena mnafanya mambo mengi ya namna hiyo.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Hivyo ndivyo mnavyodharau neno la Mungu kwa ajili ya mafundisho mnayopokezana. Tena mnafanya mambo mengi ya namna hiyo.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Kwa njia hiyo ninyi mnabatilisha neno la Mungu kwa mapokeo yenu mliyojiwekea. Nanyi mnafanya mambo mengi ya aina hiyo.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Kwa njia hiyo ninyi mnabatilisha neno la Mungu kwa mapokeo yenu mliyojiwekea. Nanyi mnafanya mambo mengi ya aina hiyo.”

Tazama sura Nakili




Marko 7:13
14 Marejeleo ya Msalaba  

Mkalitangua neno la Mungu kwa mapokeo yemi.


wala hamrukhusu baada ya hayo kumtendea neno baba yake wala mama yake;


Akawaita makutano tena, akawaambia, Nisikieni nyote, fahamuni.


Kwa maana Mafarisayo na Wayahudi wote wasiponawa mikono kwanza, hawali, wakishika hadithi za wazee wao:


Bassi wale Mafarisayo na waandishi wakamwuliza, Mbona wanafunzi wako hawaendi kwa kuzifuata hadithi za wazee, bali hula chakula kwa mikono najis?


Akawaambia, Mwaikataa vema amri ya Mungu mpate kushika hadithi zenu.


nami nalitangulia katika dini ya Kiyahudi kuliko wengi walio hirimu zangu katika kabila yangu, nikajitahidi sana katika kushika mapokeo ya baba zangu.


husuda, ulevi, ulafi, na yanayofanana na haya; juu ya haya nawaambieni mapema, kama nilivyokwisha kuwaambieni, watu watendao mambo ya jinsi hii hawatanrithi ufalme wa Mungu.


wasisikilize hadithi za Kiyahudi, na maagizo ya wana Adamn wajiepushao na kweli.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo