Marko 7:10 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192110 Maana Musa alisema, Waheshimu baba yako na mama yako, na, Amtukanae baba yake au mama yake na afe. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Maana Mose aliamuru: ‘Waheshimu baba yako na mama yako,’ na, ‘Anayemtukana baba yake au mama yake, lazima afe’. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Maana Mose aliamuru: ‘Waheshimu baba yako na mama yako,’ na, ‘Anayemtukana baba yake au mama yake, lazima afe’. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Maana Mose aliamuru: ‘Waheshimu baba yako na mama yako,’ na, ‘Anayemtukana baba yake au mama yake, lazima afe’. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 Kwa mfano, Musa alisema, ‘Waheshimu baba yako na mama yako,’ na, ‘Yeyote amtukanaye baba yake au mama yake, na auawe.’ Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 Kwa mfano, Musa alisema, ‘Waheshimu baba yako na mama yako,’ na, ‘Yeyote amtukanaye baba yake au mama yake, na auawe.’ Tazama sura |