Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 6:52 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

52 kwa maana hawakufahamu khabari za ile mikate, walakini mioyo yao ilikuwa migumu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

52 kwa sababu hawakuwa bado wameelewa maana ya ile mikate. Akili zao zilikuwa bado zimepumbazika.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

52 kwa sababu hawakuwa bado wameelewa maana ya ile mikate. Akili zao zilikuwa bado zimepumbazika.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

52 kwa sababu hawakuwa bado wameelewa maana ya ile mikate. Akili zao zilikuwa bado zimepumbazika.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

52 kwa kuwa walikuwa hawajaelewa kuhusu ile mikate. Mioyo yao ilikuwa migumu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

52 kwa kuwa walikuwa hawajaelewa kuhusu ile mikate. Mioyo yao ilikuwa migumu.

Tazama sura Nakili




Marko 6:52
9 Marejeleo ya Msalaba  

Baadae akaonekana na wale edashara walipokuwa wakila, akawalaumu kwa kutoamini kwao na ugumu wa mioyo yao, kwa kuwa hawakuwasadiki waliomwona alipofufuka.


Akawakazia macho pande zote kwa ghadhabu, akiona huzuni kwa ajili ya ugumu wa mioyo yao, akamwambia yule mtu. Nyosha mkono wako. Akaunyosha: mkono wake ukapona ukawa mzima kama wa pili:


Akawaambia, Hivi na ninyi hamna akili? Hamfahamu ya kuwa killa kitu kilicho nje ya mtu, kikimwingia, hakiwezi kumtia najis;


Nae akawaambia, Enyi wapumbavu, na wenye mioyo mizito katika kuyaamini yote waliyoyasema manabii!


Amewapofusba macho, amefanya migumu mioyo yao, Wasije wakaona kwa macho yao, wakafahamu kwa mioyo yao, Wakagenka, nikawaponya.


Imekuwaje bassi? Kitu kile ambacho Israeli alikuwa akikitafuta hakukipata, lakini wale waliochaguliwa walikipata, na wengine walitiwa ugumu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo