Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 6:49 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

49 Nao walipomwoua anatembea juu ya bahari walidhani ya kuwa ni kivuli, wakapiga yowe, kwa sababu wote walimwona, wakafadhaika.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

49 Lakini walipomwona akitembea juu ya maji, walidhani ni mzimu, wakapiga yowe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

49 Lakini walipomwona akitembea juu ya maji, walidhani ni mzimu, wakapiga yowe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

49 Lakini walipomwona akitembea juu ya maji, walidhani ni mzimu, wakapiga yowe.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

49 lakini walipomwona akitembea juu ya maji, wakadhani ni mzimu. Wakapiga yowe,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

49 lakini walipomwona akitembea juu ya maji, wakadhani ni mzimu. Wakapiga yowe,

Tazama sura Nakili




Marko 6:49
6 Marejeleo ya Msalaba  

Akawaona wakitaahika kwa kuvuta makasia, kwa maana upepo ulikuwa wa mbisho; hatta yapata zamu ya nne ya usiku akawaendea akitemhea juu ya bahari; akataka kuwdpita.


Marra akasema nao, akawaambia, Jipeni moyo: ni mimi msiogope.


Wakafadhaika, wakaingiwa na khofu, wakidhani ya kuwa wanaona pepo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo