Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 6:46 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

46 Hatta alipokwisha kuagana nao akaenda zake mlimani kusali.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

46 Baada ya kuwaaga watu alikwenda mlimani kusali.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

46 Baada ya kuwaaga watu alikwenda mlimani kusali.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

46 Baada ya kuwaaga watu alikwenda mlimani kusali.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

46 Baada ya kuwaaga, akaenda mlimani kuomba.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

46 Baada ya kuwaaga wale watu, akaenda mlimani kuomba.

Tazama sura Nakili




Marko 6:46
9 Marejeleo ya Msalaba  

Alipokwisha kuwaaga makutano, akapanda mlimani kwa faragha, kwenda kusali. Na ilipokuwa jioni, alikuwako huko peke yake.


Bali wewe usalipo, ingia chumba chako cha ndani, na ukiisha kufunga mlango wako, usali mbele ya Baba yako aliye kwa siri: na Baba yako aonae kwa siri atakujazi kwa dhahiri.


Hatta alfajiri na mapema sana, akaondoka, akatoka akaenda zake mahali pasipo watu akasali huko.


Ilipokuwa jioni chombo kilikuwa kati ya bahari, na yeye peke yake katika inchi kavu.


Ikawa katika siku zile akaomloka akaenda mlimani kuomba, akashinda usiku kucha, akimwomba Mungu.


Paolo akazidi kukaa huko siku nyingi, kiisha akaagana na ndugu akatweka kwenda Shami; na Priskilla na Akula wakaenda pamoja nae, alipokwisha kunyoa kichwa chake katika Kenkrea; maana alikuwa ana nadhiri.


bali aliagana nao, akisema. Sina buddi kufanya siku kuu hii inayokuja Yerusalemi: lakini nitarejea kwenu, Mungu akinijalia.


sikupata raha nafsini mwangu, kwa sababu sikumwona Tito ndugu yangu, bali niliagana nao, nikaondoka kwenda Makedonia.


Kwa sababu ndio mlioitiwa: maana Kristo nae aliteswa kwa ajili yenu, akiwaachieni mfano, mfuate nyayo zake;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo