Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 6:36 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

36 uwaage watu hawa, illi waende zao mashambani na vijijini huko na huko, wakajinunulie chakula.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

36 Afadhali uwaage watu waende mashambani na katika vijiji vya jirani, wanunue chakula.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

36 Afadhali uwaage watu waende mashambani na katika vijiji vya jirani, wanunue chakula.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

36 Afadhali uwaage watu waende mashambani na katika vijiji vya jirani, wanunue chakula.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

36 Waage watu ili waende mashambani na vijijini jirani, wakajinunulie chakula.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

36 Waage watu ili waende mashambani na vijijini jirani, wakajinunulie chakula.”

Tazama sura Nakili




Marko 6:36
6 Marejeleo ya Msalaba  

Nae hakumjibu neno. Wanafunzi wake wakamwendea, wakamwomba, wakinena. Mwache aende zake; kwa maana anapiga kelele nyuma yetu.


Petro akamchukua, akaanza kumkemea, akinena, Hasha, Bwana, haya hayatakupata.


Jamaa zake walipopata khabari wakatoka kwenda kumkamata: maana walinena, Amerukwa na akili.


Wanafunzi wake wakamwambia, Wawaona makutano wanavyokusongasonga, nawe wanena, Ni nani aliyenigusa?


Hatta zikapita saa nyingi za mchana, ikawa karibu na magharibi, wanafunzi wake wakamwendea, wakasema, Mahali hapa nyika tupu, na sasa kunakuchwa;


Akajibu, akawaambia, Wapeni ninyi chakula: Wakamwambia, Je! twende zetu tukanunue mikate ya dinari miateen tukawape kula?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo