Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 6:26 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

26 Mfalme akafanya huzuni sana, lakini kwa ajili ya nyapo zake, na kwa ajili yao walioketi karamuni, hakutaka kumkataa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

26 Mfalme akahuzunika sana, lakini kwa sababu ya kiapo chake, na kwa ajili ya wale wageni wake karamuni, hakutaka kumkatalia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

26 Mfalme akahuzunika sana, lakini kwa sababu ya kiapo chake, na kwa ajili ya wale wageni wake karamuni, hakutaka kumkatalia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

26 Mfalme akahuzunika sana, lakini kwa sababu ya kiapo chake, na kwa ajili ya wale wageni wake karamuni, hakutaka kumkatalia.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

26 Mfalme akasikitika sana, lakini kwa sababu alikuwa ameapa viapo mbele ya wageni wake, hakutaka kumkatalia.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

26 Mfalme akasikitika sana, lakini kwa sababu alikuwa ameapa viapo mbele ya wageni wake, hakutaka kumkatalia.

Tazama sura Nakili




Marko 6:26
7 Marejeleo ya Msalaba  

Mfalme akasikitika; lakini kwa ajili ya nyapo zake, na kwa ajili ya wale walioketi chakulani pamoja nae, akaamuru apewe;


Marra akaingia kwa haraka mbele ya mfalme akaomba akinena, Nataka unipe sasa hivi katika kombe kichwa cha Yohana Mbatizaji.


Marra mfalme akatuma askari, akiamuru kuleta kichwa chake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo