Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 6:24 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

24 Akatoka, akamwambia mama yake, Niombe nini? Akasema, Kichwa cha Yohana Mbatizaji.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 Hapo huyo msichana akatoka, akamwuliza mama yake, “Niombe nini?” Naye akamjibu, “Kichwa cha Yohane Mbatizaji.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 Hapo huyo msichana akatoka, akamwuliza mama yake, “Niombe nini?” Naye akamjibu, “Kichwa cha Yohane Mbatizaji.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 Hapo huyo msichana akatoka, akamwuliza mama yake, “Niombe nini?” Naye akamjibu, “Kichwa cha Yohane Mbatizaji.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 Yule binti akatoka nje, akaenda kumuuliza mama yake, “Niombe nini?” Mama yake akamjibu, “Omba kichwa cha Yahya.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 Yule binti akatoka nje, akaenda kumuuliza mama yake, “Niombe nini?” Mama yake akamjibu, “Omba kichwa cha Yahya.”

Tazama sura Nakili




Marko 6:24
14 Marejeleo ya Msalaba  

Nae, akishawishwa na mama yake, akasema, Nipe hapa katika kombe kichwa cha Yohana Mbatizaji.


SIKU zile akaondokea Yohana Mbatizaji akikhubiri katika jangwa ya Yahudi, akinena,


Akamwambia, Lo lote utakaloniomba, nitakupa hatta nussu ya ufalme wangu.


Marra akaingia kwa haraka mbele ya mfalme akaomba akinena, Nataka unipe sasa hivi katika kombe kichwa cha Yohana Mbatizaji.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo