Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 6:19 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

19 Bassi yule Herodias akawa akimvizia, akataka kumwua, asipate.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Basi, Herodia alimchukia sana Yohane, akataka kumuua, asiweze.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Basi, Herodia alimchukia sana Yohane, akataka kumuua, asiweze.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Basi, Herodia alimchukia sana Yohane, akataka kumuua, asiweze.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Kwa hiyo Herodia alikuwa amemwekea Yahya kinyongo, akataka kumuua. Lakini hakuweza,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Kwa hiyo Herodia alikuwa amemwekea Yahya kinyongo akataka kumuua. Lakini hakuweza,

Tazama sura Nakili




Marko 6:19
7 Marejeleo ya Msalaba  

Maana Herode alikuwa amemkamata Yohana, akamfunga, akamtia gerezani, kwa ajili ya Herodias, mke wa Filipo ndugu yake.


Hatta panapo siku kuu ya kuzaliwa kwake Herode, binti Herodias alicheza kati ya watu, akampendeza Herode.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo