Marko 6:16 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192116 Lakini Herode aliposikia, alinena, Huyu ndiye Yohana, niliyemkata kichwa; amefufuka. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Lakini Herode alipopata habari hizi alisema, “Huyu ni Yohane! Nilimkata kichwa, lakini amefufuka.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Lakini Herode alipopata habari hizi alisema, “Huyu ni Yohane! Nilimkata kichwa, lakini amefufuka.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Lakini Herode alipopata habari hizi alisema, “Huyu ni Yohane! Nilimkata kichwa, lakini amefufuka.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Lakini Herode aliposikia habari hizi, akasema, “Huyo ni Yahya, niliyemkata kichwa, amefufuliwa kutoka kwa wafu!” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Lakini Herode aliposikia habari hizi, akasema, “Huyo ni Yahya, niliyemkata kichwa, amefufuliwa kutoka kwa wafu!” Tazama sura |