Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 6:16 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

16 Lakini Herode aliposikia, alinena, Huyu ndiye Yohana, niliyemkata kichwa; amefufuka.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Lakini Herode alipopata habari hizi alisema, “Huyu ni Yohane! Nilimkata kichwa, lakini amefufuka.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Lakini Herode alipopata habari hizi alisema, “Huyu ni Yohane! Nilimkata kichwa, lakini amefufuka.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Lakini Herode alipopata habari hizi alisema, “Huyu ni Yohane! Nilimkata kichwa, lakini amefufuka.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Lakini Herode aliposikia habari hizi, akasema, “Huyo ni Yahya, niliyemkata kichwa, amefufuliwa kutoka kwa wafu!”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Lakini Herode aliposikia habari hizi, akasema, “Huyo ni Yahya, niliyemkata kichwa, amefufuliwa kutoka kwa wafu!”

Tazama sura Nakili




Marko 6:16
8 Marejeleo ya Msalaba  

akawaambia watumishi wake, Huyu ndiye Yohana Mbatizaji; amefufuka katika wafu; na kwa sababu hii nguvu hizo zinatenda kazi ndani yake.


akinena, Nalikosa nilipoisaliti damu isiyo na khatiya. Wakanena, Bassi, haya yatukhussu nini sisi? Tazama wewe hayo.


Wengine walinena, Huyu ni nabii au kama mmoja wa manabii.


Kwa maana Herode mwenyewe alikuwa ametuma wata, akamkamata Yohana, akamfunga gerezani, kwa ajili va Herodias, nikewe Filipo ndugu yake: kwa kuwa amemwoa; bassi Yohana alimwambia Herode,


Herode akasema, Yohana nimemkata kichwa: bassi, nani huyu ambae ninasikia khabari zake za namna hii? Akatafuta kumwona.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo