Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 5:8 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

8 Kwa sababu amemwambia, Ewe pepo mchafu, mtoke mtu huyu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Alisema hivyo kwa kuwa Yesu alikuwa amemwambia, “Pepo mchafu, mtoke mtu huyu.”)

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Alisema hivyo kwa kuwa Yesu alikuwa amemwambia, “Pepo mchafu, mtoke mtu huyu.”)

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Alisema hivyo kwa kuwa Yesu alikuwa amemwambia, “Pepo mchafu, mtoke mtu huyu.”)

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Kwa kuwa Isa alikuwa amemwambia, “Mtoke mtu huyu, wewe pepo mchafu!”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Kwa kuwa Isa alikuwa amemwambia, “Mtoke mtu huyu, wewe pepo mchafu!”

Tazama sura Nakili




Marko 5:8
5 Marejeleo ya Msalaba  

Yesu akamkaripia, akinena, Fumba kinywa, umtoke.


akalia kwa sauti kuu akanena, Nina nini nawe, Yesu, Mwana wa Mungu aliye juu? Nakusihi, uniapie kwa Mungu kwamba hutaniadhibu.


Akamwambia, Jina lako nani? Akajibu, akamwambia, Jina langu Legioni: kwa kuwa tu wengi.


Akawa akifanya hayo siku nyingi. Lakini Paolo akakasirika akageuka akamwambia yule pepo, Nakuamuru kwa jina la Yesu Kristo, mtoke huyu. Akamtoka saa ile ile.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo