Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 5:6 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

6 Alipomwona Yesu kwa mbali, akampiga mbio, akamsujudia;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Alipomwona Yesu kwa mbali, alimkimbilia, akamwinamia

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Alipomwona Yesu kwa mbali, alimkimbilia, akamwinamia

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Alipomwona Yesu kwa mbali, alimkimbilia, akamwinamia

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Alipomwona Isa kwa mbali, alimkimbilia, akapiga magoti mbele yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Alipomwona Isa kwa mbali, alimkimbilia, akapiga magoti mbele yake.

Tazama sura Nakili




Marko 5:6
7 Marejeleo ya Msalaba  

Na siku zote, usiku na mchana, alikuwa makaburini na milimani, akilia na kujikata kwa mawe.


akalia kwa sauti kuu akanena, Nina nini nawe, Yesu, Mwana wa Mungu aliye juu? Nakusihi, uniapie kwa Mungu kwamba hutaniadhibu.


Pepo wakawatoka wengi wakipaaza sauti zao wakisema, Wewe u Kristo, Mwana wa Mungu. Akawakemea, asiwaache kunena, kwa sababu walijua ya kuwa yeye ndiye Kristo.


Akamfuata Paolo na sisi, akipiga kelele, akisema, Watu hawa ni watumishi wa Mungu aliye juu, wenye kutukhubiri njia ya wokofu.


Wewe waamini ya kuwa Mungu ni mmoja; watenda vyema. Mashetani nao waamini na kutetemeka.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo