Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 5:5 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

5 Na siku zote, usiku na mchana, alikuwa makaburini na milimani, akilia na kujikata kwa mawe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Mchana na usiku alikaa makaburini na milimani akipaza sauti na kujikatakata kwa mawe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Mchana na usiku alikaa makaburini na milimani akipaza sauti na kujikatakata kwa mawe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Mchana na usiku alikaa makaburini na milimani akipaza sauti na kujikatakata kwa mawe.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Usiku na mchana alikuwa makaburini na milimani, akipiga kelele na kujikatakata kwa mawe.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Usiku na mchana alikuwa makaburini na milimani, akipiga kelele na kujikatakata kwa mawe.

Tazama sura Nakili




Marko 5:5
5 Marejeleo ya Msalaba  

kwa sababu alikuwa amefungwa marra nyingi kwa pingu na minyororo, akaikata ile minyororo, na kuzivunjavunja zile pingu; wala hakuna mtu aliyekuwa na nguvu za kumshinda.


Alipomwona Yesu kwa mbali, akampiga mbio, akamsujudia;


Ninyi wa baba yenu Shetani, na tamaa za baba yenu ndizo mpendazo kuzifanya. Yeye alikuwa mwuaji tangu mwanzo, wala hakusimama katika kweli kwa kuwa kweli hamna ndani yake. Asemapo uwongo, husema yaliyo yake mwenyewe, kwa sababu yu mwongo, na baba ya huo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo