Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 5:39 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

39 Alipokwisha kuingia, akawaambia, Mbona mnafanya ghasia na kulia? Mtoto hakufa, bali amelala tu. Wakamcheka sana.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

39 Akaingia ndani, akawaambia, “Mbona mnapiga kelele na kulia? Msichana hakufa, amelala tu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

39 Akaingia ndani, akawaambia, “Mbona mnapiga kelele na kulia? Msichana hakufa, amelala tu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

39 Akaingia ndani, akawaambia, “Mbona mnapiga kelele na kulia? Msichana hakufa, amelala tu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

39 Alipokwisha kuingia ndani, akawaambia, “Kwa nini mnafanya ghasia na kulia? Mtoto hajafa, bali amelala tu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

39 Alipokwisha kuingia ndani, akawaambia, “Kwa nini mnafanya ghasia na kulia? Mtoto hajafa, bali amelala tu.”

Tazama sura Nakili




Marko 5:39
9 Marejeleo ya Msalaba  

akawaambia, Ondokeni: kwa maana kijana hakufa, amelala tu. Wakamcheka sana.


Wakafika nyumbani kwa yule mkuu wa sunagogi, akaona ghasia, na watu wakilia, wakifanya maombolezo mengi.


Nae alipokwisha kuwatoa nje wote, akamtwaa baba yake yule mtoto na mama yake, na wale walio pamoja nae, akaingia ndani alimokuwamo yule mtoto.


Paolo akashuka, akamwangukia, akamkumbatia, akasema, Msifanye ghasia, maana uzima wake ungalimo ndani yake.


Kwa sababu hiyo wako wengi kwenu walio hawawezi na dhaifu, na watu kadha wa kadha wamelala.


aliyekufa kwa ajili vetu, illi tuishi pamoja nae, ikiwa twakesha au ikiwa twalala.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo