Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 5:36 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

36 Yesu, marra alipolisikia lile neno likinenwa, akamwambia mkuu wa sunagogi, Usiogope, amini tu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

36 Lakini, bila kujali walichosema, Yesu akamwambia mkuu wa sunagogi, “Usiogope, amini tu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

36 Lakini, bila kujali walichosema, Yesu akamwambia mkuu wa sunagogi, “Usiogope, amini tu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

36 Lakini, bila kujali walichosema, Yesu akamwambia mkuu wa sunagogi, “Usiogope, amini tu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

36 Aliposikia hayo waliyosema, Isa akamwambia huyo kiongozi wa sinagogi, “Usiogope. Amini tu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

36 Aliposikia hayo waliyosema, Isa akamwambia huyo kiongozi wa sinagogi, “Usiogope. Amini tu.”

Tazama sura Nakili




Marko 5:36
11 Marejeleo ya Msalaba  

Yesu akawaambia, Kwa sababu ya kutokuamini kwenu. Kwa maana, amin, nawaambieni, Mkiwa na imani kama punje ya kharadali mtauambia mlima huu, Ondoka hapa hatta kule; nao utaondoka; wala halitakuwako neno lisilowezekana kwenu.


Alipokuwa akiwaambia haya, yuaja jumbe mmoja, akamsujudia, akinena, Binti yangu udio kwanza afe: lakini njoo, uweke mkono wako juu yake, uae atapona.


Kumbe! akaja mtu mmoja katika wakuu wa sunagogi, jina lake Yairo: hatta alipomwona, akaanguka miguuni pake,


Akamwambia, Binti imani yako imekuponya, enenda zako kwa amani, ukawe mzima, usiwe na msiba wako tena.


Yesu akamwambia, Ukiweza kuamini: yote yawezekana kwake aaminiye.


Yesu aliposikia, akamjibu, akasema, Usiogope, amini tu, nae ataokolewa.


Yesu akamwambia, Sikukuambia ya kwamba ukiamini utauona utukufu wa Mungu? Bassi wakaliondoa lile jiwe.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo