Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 5:34 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

34 Akamwambia, Binti imani yako imekuponya, enenda zako kwa amani, ukawe mzima, usiwe na msiba wako tena.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

34 Yesu akamwambia, “Binti, imani yako imekuponya. Nenda kwa amani, upone kabisa ugonjwa wako.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

34 Yesu akamwambia, “Binti, imani yako imekuponya. Nenda kwa amani, upone kabisa ugonjwa wako.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

34 Yesu akamwambia, “Binti, imani yako imekuponya. Nenda kwa amani, upone kabisa ugonjwa wako.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

34 Isa akamwambia, “Binti, imani yako imekuponya. Nenda kwa amani, upone kabisa ugonjwa wako.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

34 Isa akamwambia, “Binti, imani yako imekuponya. Nenda kwa amani, upone kabisa ugonjwa wako.”

Tazama sura Nakili




Marko 5:34
19 Marejeleo ya Msalaba  

Wakamletea mgonjwa wa kupooza, amelala kitandani: na Yesu, akiona imani yao, akamwambia yule mgonjwa wa kupooza, Jipe moyo mkuu, mwanaugu; umeondolewa dhambi zako.


Yesu akageuka, akamwona, akamwambia, Jipe moyo mkuu, binti yangu; imani yako imekuponya. Yule mwanamke akapona tangu saa ile.


Yesu akamwambia, Enenda zako, imani yako imekuponya. Marra akapata kuona tena; akafuata Yesu njiani.


Maana aliponya wengi, hatta wote waliokuwa na misiba wakamrukia wapate kumgusa.


Marra chemchemi ya damu yake ikakauka, akafahamu mwilini mwake kwamba amepona msiba ule.


Na yule mwanamke akaingiwa na khofu na kutetemeka, akijua lililompata, akaja akamwangukia, akamweleza kweli yote.


Akamwambia, Simama; enenda zako; imani yako imekuokoa.


Yesu akamwambia, Upewe kuona imani yako imekuponya.


Akamwambia yule mwanamke, Imani yako imekuokoa; enenda zako kwa amani.


Akamwambia. Jipe moyo mkuu, binti, imani yako imekuponya; enenda zako kwa amani.


Mtu huyo alimsikia Paolo akinena; nae akamkazia macho akaona ya kuwa ana imani ya kuponywa,


Nao wakiisha kukaa huko muda kitambo, wakarukhusiwa na ndugu waende kwa amani kwao waliowatuma.


Yule mlinzi wa gereza akamwarifu Paolo maneno haya ya kama, Makadhi wametuma watu kuwafungulieni! bassi, sasa tokeni nje, enendeni zenu kwa amani.


mtu wa kwenu akawaambia, Enendeni zenu kwa amani, mkaote moto na kushiba, illakini asiwape mahitaji ya mwili, yafaa nini?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo