Marko 5:31 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192131 Wanafunzi wake wakamwambia, Wawaona makutano wanavyokusongasonga, nawe wanena, Ni nani aliyenigusa? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema31 Wanafunzi wake wakamjibu, “Unaona jinsi watu wanavyokusonga; mbona unauliza nani aliyekugusa?” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND31 Wanafunzi wake wakamjibu, “Unaona jinsi watu wanavyokusonga; mbona unauliza nani aliyekugusa?” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza31 Wanafunzi wake wakamjibu, “Unaona jinsi watu wanavyokusonga; mbona unauliza nani aliyekugusa?” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu31 Wanafunzi wake wakamjibu, “Unaona jinsi watu wanavyokusonga. Wawezaje kuuliza, ‘Ni nani aliyenigusa?’ ” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu31 Wanafunzi wake wakamjibu, “Unaona jinsi umati wa watu unavyokusonga. Wawezaje kuuliza, ‘Ni nani aliyenigusa?’ ” Tazama sura |