Marko 5:2 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19212 Na alipokwisha kushuka chomboni, marra akakutwa na mtu ambae ametoka makaburini, nae ana pepo mchafu, makao yake yalikuwa pale makaburini: Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 Mara tu Yesu aliposhuka mashuani, mtu mmoja aliyepagawa na pepo mchafu alitoka makaburini, akakutana naye. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 Mara tu Yesu aliposhuka mashuani, mtu mmoja aliyepagawa na pepo mchafu alitoka makaburini, akakutana naye. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 Mara tu Yesu aliposhuka mashuani, mtu mmoja aliyepagawa na pepo mchafu alitoka makaburini, akakutana naye. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 Isa alipotoka kwenye mashua, mara mtu mmoja mwenye pepo mchafu akatoka makaburini, akakutana naye. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 Isa alipotoka kwenye mashua, mara mtu mmoja mwenye pepo mchafu akatoka makaburini akakutana naye. Tazama sura |