Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 4:9 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

9 Akanena, Aliye na masikio ya kusikilia, na asikie.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Kisha akawaambia, “Mwenye masikio na asikie!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Kisha akawaambia, “Mwenye masikio na asikie!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Kisha akawaambia, “Mwenye masikio na asikie!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Kisha Isa akasema, “Mwenye masikio ya kusikia, na asikie.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Kisha Isa akasema, “Mwenye masikio ya kusikia, na asikie.”

Tazama sura Nakili




Marko 4:9
15 Marejeleo ya Msalaba  

Mwenye masikio ya kusikilia, na asikie.


Mwenye masikio ya kusikilia, na asikie.


Akawaita makutano akawaambia, Sikieni, mfahamu:


Alipokuwa peke yake, watu waliomzunguka, na wale thenashara wakamwuliza khabari za ule mfano.


Sikilizeni: Mpanzi alitoka kwenda kupanda;


Nyingine zikaanguka panapo udongo ulio mzuri, zikazaa matunda, zikimea na kukua, na kuzaa, moja thelathini, moja sittini, na moja mia.


Mtu akiwa na masikio ya kusikilia, na asikie.


Jihadharini, bassi, jinsi msikiavyo. Maana yeye aliye na kitu, atapewa: nae asiye na kitu ataondolewa hatta kitu kile ambacho anaonekana kuwa anacho.


Yeye aliye na sikio na asikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa. Yeye ashindae hatapatikana na madhara ya mauti ya pili.


Yeye alive na sikio, na asikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa. Yeye ashindae, nitampa kula matunda ya mti wa uzima ulio kati kati va bustani ya Mungu.


Yeye aliye na sikio na asikie neno bili ambalo Roho ayaambia makanisa.


Yeye aliye na sikio na asikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa.


Yeye aliye na sikio na asikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo