Marko 4:8 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19218 Nyingine zikaanguka panapo udongo ulio mzuri, zikazaa matunda, zikimea na kukua, na kuzaa, moja thelathini, moja sittini, na moja mia. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Nyingine zilianguka katika udongo mzuri, zikamea, zikakua na kuzaa: Moja punje thelathini, moja sitini na nyingine mia.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Nyingine zilianguka katika udongo mzuri, zikamea, zikakua na kuzaa: Moja punje thelathini, moja sitini na nyingine mia.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Nyingine zilianguka katika udongo mzuri, zikamea, zikakua na kuzaa: moja punje thelathini, moja sitini na nyingine mia.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Mbegu nyingine zilianguka kwenye udongo mzuri, zikaota vizuri na kukua, zikatoa mazao, moja mara thelathini, nyingine mara sitini, na nyingine mara mia moja.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Mbegu nyingine zilianguka kwenye udongo mzuri, zikaota vizuri na kukua, zikatoa mazao, moja mara thelathini, nyingine mara sitini, na nyingine mara mia moja.” Tazama sura |