Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 4:7 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

7 Nyingine zikaanguka penye miiba: ile miiba ikakua, ikazisonga, zisizae matunda.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Nyingine zilianguka kwenye miti ya miiba, nayo ikakua na kuzisonga, nazo hazikuzaa nafaka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Nyingine zilianguka kwenye miti ya miiba, nayo ikakua na kuzisonga, nazo hazikuzaa nafaka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Nyingine zilianguka kwenye miti ya miiba, nayo ikakua na kuzisonga, nazo hazikuzaa nafaka.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Mbegu nyingine zilianguka kwenye miiba, nayo miiba ikakua, ikaisonga hiyo mimea, hivyo haikutoa mazao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Mbegu nyingine zilianguka kwenye miiba, nayo miiba hiyo ikakua, ikaisonga hiyo mimea, hivyo haikutoa mazao.

Tazama sura Nakili




Marko 4:7
14 Marejeleo ya Msalaba  

Nae aliyepandwa penye miiba, huyu ndiye alisikiae lile neno; na shughuli za dunia, na udanganyifu wa mali hulisonga lile neno, likawa halizai.


Nyingine zikaanguka penye miiba; miiba ikamea, ikazisonga:


nyingine zikaanguka penye udongo mwema, zikazaa, hizi mia, hizi sittini, hizi thelathini.


hatta jua lilipoznka zikaungua, na kwa kuwa hazina mizizi zikakauka.


Nyingine zikaanguka panapo udongo ulio mzuri, zikazaa matunda, zikimea na kukua, na kuzaa, moja thelathini, moja sittini, na moja mia.


Akawaambia, Angalieni, jilindeni na kutamani, maana uzima wa mtu hautoki katika mali zake, kwa sababu ana wingi wa mali.


Bassi, jiangalieni, mioyo yenu isije ikalemewa na ulafi na ulevi, na masumbufu ya maisha haya,


Nazo zilizoangukia miibani, hawa ndio waliosikia, nao wakienda zao husongwa na shughuli, na mali, na anasa za maisha, wasizae kwa utimilifu.


Nyingine zikaanguka kati ya miiba, nayo miiba ikamea pamoja nazo, ikazisonga.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo