Marko 4:41 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192141 Wakaingizwa na khofu kuu, wakaambiana, Ni nani huyu, bassi, hatta upepo na bahari zamtii? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema41 Nao wakaogopa sana, wakawa wanaulizana, “Huyu ni nani basi, hata upepo na mawimbi vinamtii?” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND41 Nao wakaogopa sana, wakawa wanaulizana, “Huyu ni nani basi, hata upepo na mawimbi vinamtii?” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza41 Nao wakaogopa sana, wakawa wanaulizana, “Huyu ni nani basi, hata upepo na mawimbi vinamtii?” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu41 Nao wakawa wameogopa sana, wakaulizana, “Ni nani huyu? Hata upepo na mawimbi vinamtii!” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu41 Nao wakawa wameogopa sana, wakaulizana, “Ni nani huyu ambaye hata upepo na mawimbi vinamtii?” Tazama sura |