Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 4:40 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

40 Akawaambia, Mbona mu waoga? Hamna imani bado?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

40 Kisha Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Mbona mnaogopa? Je, bado hamna imani?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

40 Kisha Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Mbona mnaogopa? Je, bado hamna imani?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

40 Kisha Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Mbona mnaogopa? Je, bado hamna imani?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

40 Isa akawaambia wanafunzi wake, “Kwa nini mnaogopa hivyo? Je, bado hamna imani?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

40 Isa akawaambia wanafunzi wake, “Kwa nini mnaogopa hivyo? Je, bado hamna imani?”

Tazama sura Nakili




Marko 4:40
10 Marejeleo ya Msalaba  

Marra Yesu akanyosha mkono wake, akamshika, akamwambia, Ewe mwenye imani haba, mbona uliona shaka?


Yesu akajua, akawaambia, Mbona mnabishana ninyi kwa ninyi, enyi wa imani haba, kwa sababu hamkuchukua mikate?


Lakini Mungu akiyavika hivi majani ya mashamba, yaliyopo leo, na kesho hutupwa kalibuni, je, hatazidi sana kuwavika ninyi, enyi wa imani haba?


Akawaambia, Mbona mu waoga, enyi wa imani haba? Marra akaondoka, akazikemea pepo na bahari; kukawa shwari kuu.


Wakaingizwa na khofu kuu, wakaambiana, Ni nani huyu, bassi, hatta upepo na bahari zamtii?


Akawaambia, Imani yenu iko wapi? Wakaogopa, wakastaajabu, wakasemezana, Huyu ni nani, bassi, kwa kuwa hatta upepo na bahari aviamuru vikamtii?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo