Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 4:4 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

4 ikawa alipokuwa akipanda, baadhi ya mbegu zikaangukia njiani, wakaja ndege wakazila.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Alipokuwa akipanda mbegu, nyingine zilianguka njiani, ndege wakaja wakazila.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Alipokuwa akipanda mbegu, nyingine zilianguka njiani, ndege wakaja wakazila.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Alipokuwa akipanda mbegu, nyingine zilianguka njiani, ndege wakaja wakazila.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Alipokuwa akitawanya mbegu, nyingine zilianguka kando ya njia, nao ndege wakaja na kuzila.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Alipokuwa akitawanya mbegu, nyingine zilianguka kando ya njia, nao ndege wakaja na kuzila.

Tazama sura Nakili




Marko 4:4
8 Marejeleo ya Msalaba  

Killa alisikiae neno la ufalme asifahamu, huja yule mwovu, akaliteka lililopandwa moyoni mwake. Huyu ndiye aliyepandwa njiani.


Hatta alipokuwa akipanda, nyingine zikaanguka njiani, ndege wakaja wakazila:


Hawa ndio walio njiani, lipandwapo neno; nao, wakiisha kusikia, marra huja Shetani, akaliondoa lile neno lililopandwa mioyoni mwao.


Sikilizeni: Mpanzi alitoka kwenda kupanda;


Nyingine zikaanguka penye mwamba, pasipokuwa na udongo mwingi; marra zikamea kwa kuwa na udongo haba;


Na wale wa njiani, ndio wasikiao, ndipo huja Shetani na kulitoa lile neno mioyoni mwao, illi wasije wakaamini, wakaokoka.


Mpanzi alitoka kwenda kupanda mbegu zake. Alipokuwa akipanda, nyingine zikaanguka karibu na njia, zikakanyagwa, ndege za anga wakazila.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo