Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 4:34 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

34 wala pasipo mfano hakusema nao: akawaeleza wanafunzi wake mambo yote kwa faragha.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

34 Hakuongea nao chochote bila kutumia mifano; lakini alipokuwa pamoja na wanafunzi wake peke yao alikuwa akiwafafanulia kila kitu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

34 Hakuongea nao chochote bila kutumia mifano; lakini alipokuwa pamoja na wanafunzi wake peke yao alikuwa akiwafafanulia kila kitu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

34 Hakuongea nao chochote bila kutumia mifano; lakini alipokuwa pamoja na wanafunzi wake peke yao alikuwa akiwafafanulia kila kitu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

34 Hakusema nao neno lolote pasipo mfano. Lakini alipokuwa na wanafunzi wake, aliwafafanulia kila kitu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

34 Hakusema nao neno lolote pasipo mfano. Lakini alipokuwa na wanafunzi wake, aliwafafanulia kila kitu.

Tazama sura Nakili




Marko 4:34
12 Marejeleo ya Msalaba  

Haya yote Yesu aliwaambia makutano kwa mifano; na pasipo mfano hakuwaambia neno:


Alipokuwa peke yake, watu waliomzunguka, na wale thenashara wakamwuliza khabari za ule mfano.


Kwa mifano mingi ya namna hii alikuwa akisema nao neno lake, kwa kadiri walivyoweza kusikia;


Akaanza toka Musa na manabii, akawafasiria katika maandiko yote mambo yaliyomkhusu yeye.


Methali hii Yesu aliwaambia; lakini wao hawakuelewa na mambo hayo aliyowaambia.


Haya nimesema nanyi kwa methali: saa inakuja, sitasema nanyi tena kwa methali, lakini nitawapa kwa wazi khabari ya Baba.


Wakiislia kuwekana kwa siku, wakaja kwake nyumbani kwake, watu wengi sana, akawaeleza kwa taratibu na kuushuhudia ufalme wa Mungu, akiwaonya mambo yake Yesu, kwa maneno ya sharia ya Musa na ya manabii, tangu assubuhi hatta jioni.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo