Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 4:33 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

33 Kwa mifano mingi ya namna hii alikuwa akisema nao neno lake, kwa kadiri walivyoweza kusikia;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

33 Yesu aliwahubiria ujumbe wake kwa mifano mingine mingi ya namna hiyo; aliongea nao kadiri walivyoweza kusikia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

33 Yesu aliwahubiria ujumbe wake kwa mifano mingine mingi ya namna hiyo; aliongea nao kadiri walivyoweza kusikia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

33 Yesu aliwahubiria ujumbe wake kwa mifano mingine mingi ya namna hiyo; aliongea nao kadiri walivyoweza kusikia.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

33 Kwa mifano mingine mingi kama hii Isa alinena nao neno lake, kwa kadiri walivyoweza kulielewa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

33 Kwa mifano mingine mingi kama hii Isa alinena nao neno lake, kwa kadiri walivyoweza kulielewa.

Tazama sura Nakili




Marko 4:33
7 Marejeleo ya Msalaba  

Akasema nao mengi kwa mifano, akinena, Mpanzi alitoka kwenda kupanda mbegu.


na ikiisha kupandwa, hukua, ikawa kubwa kuliko miti yote ya mboga, ikifanya matawi makuhwa; hatta ndege za anga waweza kukaa chini ya uvuli wake.


wala pasipo mfano hakusema nao: akawaeleza wanafunzi wake mambo yote kwa faragha.


Hatta ninayo mengi bado ya kuwaambieni, lakini hamwezi kuyastahimili sasa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo