Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 4:31 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

31 Ni kama punje ya kharadali ambayo, ipandwapo katika inchi, ni ndogo kuliko mbegu zote zilizo katika inchi,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

31 Ni kama mbegu ya haradali ambayo ni ndogo kuliko mbegu zote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

31 Ni kama mbegu ya haradali ambayo ni ndogo kuliko mbegu zote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

31 Ni kama mbegu ya haradali ambayo ni ndogo kuliko mbegu zote.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

31 Ni kama punje ya haradali, ambayo ni mbegu ndogo sana kuliko mbegu zote zinazopandwa ardhini.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

31 Ni kama punje ya haradali, ambayo ni mbegu ndogo sana kuliko mbegu zote zinazopandwa ardhini.

Tazama sura Nakili




Marko 4:31
30 Marejeleo ya Msalaba  

Akanena, Tuulinganishe na nini ufalme wa Mungu? au tuutie katika mfano gani?


na ikiisha kupandwa, hukua, ikawa kubwa kuliko miti yote ya mboga, ikifanya matawi makuhwa; hatta ndege za anga waweza kukaa chini ya uvuli wake.


Bwana akasema, Mkiwa na imani kama punje ya kharadali, mngeuambia mzambarau huu, Ngʼoka ukapandwe baharini, nao ungewatiini.


Hivyo neno la Mungu likazidi na kushinda kwa nguvu.


Nao waliolipokea neno lake kwa furaha wakabatizwa: na siku ile wakazidishiwa watu wapata elfu tatu.


Nao waliposikia wakamhimidi Mungu, wakamwambia, Ndugu yetu, unaona kwamba Wayahudi walioamini walivyo elfu nyingi, nao wote wana wivu sana kwa ajili ya torati.


Lakini wengi katika hao waliosikia lile neno waliamini: na hesabu ya watu ilikuwa kama elfu tano.


waamini wakazidi kuja kwa Bwana, wengi, wanaume ha wanawake:


Malaika wa saha akapiga baragumu, pakawa sauti kuu katika mbingu, zikisema, Falme za dunia zimekwisha kuwa ufalme na Mungu na wa Kristo wake, nae atamiliki hatta milele na milele.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo