Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 4:3 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

3 Sikilizeni: Mpanzi alitoka kwenda kupanda;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 “Sikilizeni! Mpanzi alikwenda kupanda mbegu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 “Sikilizeni! Mpanzi alikwenda kupanda mbegu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 “Sikilizeni! Mpanzi alikwenda kupanda mbegu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 “Sikilizeni! Tazama, mpanzi alitoka kwenda kupanda mbegu

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 “Sikilizeni! Mpanzi alitoka kwenda kupanda mbegu zake.

Tazama sura Nakili




Marko 4:3
29 Marejeleo ya Msalaba  

Akawatolea mfano mwingine, akinena, Ufalme wa mbinguni umefanana na mtu aliyepanda mbegu njema katika konde lake:


Baadae majani ya nganu yalipomea na kuzaa, yakaonekana na magugu.


Akasema nao mengi kwa mifano, akinena, Mpanzi alitoka kwenda kupanda mbegu.


Mpanzi yule hulipanda neno.


Akawafundisha mengi kwa mifano, akawaambia katika mafundisho yake,


Mtu akiwa na masikio ya kusikilia, na asikie.


ikawa alipokuwa akipanda, baadhi ya mbegu zikaangukia njiani, wakaja ndege wakazila.


Akanena, Aliye na masikio ya kusikilia, na asikie.


Lakini Petro akasimama pamoja na wale edashara, akapaaza sauti yake, akawaambia, Enyi watu wa Uyahudi, na ninyi nyote mkaao Yerusalemi, jambo hili lijulike kwenu, mkasikilize maneno yangu.


Sikihzeni, ndugu niwapendao, Mungu hakuwachagua maskini wa dunia wawe matajiri wa imani na warithi wa ufalme aliowaahidia wampendao?


Yeye aliye na sikio na asikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa. Yeye ashindae hatapatikana na madhara ya mauti ya pili.


Yeye aliye na sikio na asikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa.


Yeye alive na sikio, na asikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa. Yeye ashindae, nitampa kula matunda ya mti wa uzima ulio kati kati va bustani ya Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo