Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 4:26 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

26 Akanena, Ufalme wa Mungu, mithili yake ni mtu aliyemwaga mbegu juu ya inchi:

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

26 Yesu akaendelea kusema, “Ufalme wa Mungu ni kama ifuatavyo. Mtu hupanda mbegu shambani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

26 Yesu akaendelea kusema, “Ufalme wa Mungu ni kama ifuatavyo. Mtu hupanda mbegu shambani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

26 Yesu akaendelea kusema, “Ufalme wa Mungu ni kama ifuatavyo. Mtu hupanda mbegu shambani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

26 Pia akawaambia, “Ufalme wa Mungu unafanana na mtu apandaye mbegu shambani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

26 Pia akawaambia, “Ufalme wa Mwenyezi Mungu unafanana na mtu apandaye mbegu shambani.

Tazama sura Nakili




Marko 4:26
24 Marejeleo ya Msalaba  

Akajibu, akawaambia, Ninyi mmejaliwa kuzijua siri za ufalme wa mbinguni, bali wale hawakujaliwa.


Akawatolea mfano mwingine, akinena, Ufalme wa mbinguni umefanana na mtu aliyepanda mbegu njema katika konde lake:


Akasema nao mengi kwa mifano, akinena, Mpanzi alitoka kwenda kupanda mbegu.


Akawatolea mfano mwingine, akisema, Ufalme wa mbinguni umefanana na punje ya kharadali, aliyotwati mtu akaipanda katika shamba lake;


Akawaambia mfano mwingine; Ufalme wa mbinguni umefanana na chachu aliyotwaa mwanamke, akaisetiri katika pishi tatu za unga, hatta ukachacha wote pia.


Tubuni; kwa maana ufalme wa mbinguni umekaribia.


Tokea wakati huo Yesu akaanza kukhubiri, na kusema, Tubuni, maana ufalme wa mbinguni umekaribia.


Kwa maana mtu aliye na kitu atapewa, nae asiye na kitu, hatta kile alicho nacho ataondolewa.


akawa akilala na kuondoka, usiku na mchana, nayo mbegu ikimea na kukua, asivyojua yeye.


Bassi, akasema, Ufalme wa Mungu umefanana na nini? Na niufananishe na nini?


Na mfano ndio huu: Mbegu ni neno la Mungu.


Mpanzi alitoka kwenda kupanda mbegu zake. Alipokuwa akipanda, nyingine zikaanguka karibu na njia, zikakanyagwa, ndege za anga wakazila.


Amin, amin, nawaambieni, Punje ya nganu isipoanguka katika inchi ikafa, hukaa katika hali ya peke yake; bali ikifa, hutoa mazao mengi.


na tunda la baki hupandwa katika amani kwa wale wafanyao amani.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo