Marko 4:25 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192125 Kwa maana mtu aliye na kitu atapewa, nae asiye na kitu, hatta kile alicho nacho ataondolewa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema25 Aliye na kitu atapewa zaidi; asiye na kitu, hata kile alicho nacho kitachukuliwa.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND25 Aliye na kitu atapewa zaidi; asiye na kitu, hata kile alicho nacho kitachukuliwa.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza25 Aliye na kitu atapewa zaidi; asiye na kitu, hata kile alicho nacho kitachukuliwa.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu25 Kwa maana kila mtu aliye na kitu atapewa zaidi, naye atakuwa navyo tele. Lakini yule asiye na kitu, hata kile alicho nacho atanyang’anywa.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu25 Kwa maana kila mtu aliye na kitu atapewa zaidi, naye atakuwa navyo tele. Lakini yule asiye na kitu, hata kile alicho nacho atanyang’anywa.” Tazama sura |