Marko 4:22 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192122 Kwa maana hakuna neno lililostirika, illa kusudi lije likadhihirika; wala halikuwa siri, illa kusudi lije likatokea dhahiri. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema22 Basi, kila kilichofichwa kitafichuliwa, na kila kilichofunikwa kitafunuliwa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND22 Basi, kila kilichofichwa kitafichuliwa, na kila kilichofunikwa kitafunuliwa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza22 Basi, kila kilichofichwa kitafichuliwa, na kila kilichofunikwa kitafunuliwa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu22 Kwa kuwa hakuna kilichofichika ambacho hakitafunuliwa, wala hakuna jambo lolote la siri ambalo halitaletwa nuruni. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu22 Kwa kuwa hakuna kilichofichika ambacho hakitafunuliwa, wala hakuna jambo lolote la siri ambalo halitaletwa nuruni. Tazama sura |