Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 4:21 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

21 Akawaambia, Mwaonaje? Taa huletwa illi kutiwa ehini ya kikapu, au ehini ya kitanda? si kutiwa juu ya kibao cha kuwekea taa?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Yesu akaendelea kuwaambia, “Je, watu huwasha taa wakaileta ndani na kuifunika kwa debe au kuiweka mvunguni? La! Huiweka juu ya kinara.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Yesu akaendelea kuwaambia, “Je, watu huwasha taa wakaileta ndani na kuifunika kwa debe au kuiweka mvunguni? La! Huiweka juu ya kinara.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Yesu akaendelea kuwaambia, “Je, watu huwasha taa wakaileta ndani na kuifunika kwa debe au kuiweka mvunguni? La! Huiweka juu ya kinara.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Akawaambia, “Je, taa huwashwa na kufunikwa chini ya kikapu au mvunguni mwa kitanda? Je, haiwashwi na kuwekwa juu ya kinara chake?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Akawaambia, “Je, taa huwashwa na kufunikwa chini ya kikapu au mvunguni mwa kitanda? Je, haiwashwi na kuwekwa juu ya kinara chake?

Tazama sura Nakili




Marko 4:21
7 Marejeleo ya Msalaba  

Wala watu hawawashi taa na kuiweka chini ya kibaba, bali juu ya kibao cha kuwekea taa; nayo yaangaza wote waliomo nyumbani.


Hapana mtu awashae taa na kuiweka mahali pa siri au chini va pishi, bali huiweka juu ya kibao cha kuwekea taa: illi waingiao wanone mwanga.


Hakuna mtu awashae taa na kuifunika kwa chombo au kuiweka mvunguni, bali huiweka juu ya kibao cha kuwekea faa, illi waingiao wauone mwanga.


Lakini killa mmoja hupewa ufunuo wa Roho illi kufaidia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo