Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 4:2 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

2 Akawafundisha mengi kwa mifano, akawaambia katika mafundisho yake,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Aliwafundisha mambo mengi kwa mifano, na katika mafundisho yake aliwaambia,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Aliwafundisha mambo mengi kwa mifano, na katika mafundisho yake aliwaambia,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Aliwafundisha mambo mengi kwa mifano, na katika mafundisho yake aliwaambia,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Akawafundisha mambo mengi kwa mifano, naye katika mafundisho yake akasema:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Akawafundisha mambo mengi kwa mifano, naye katika mafundisho yake akasema:

Tazama sura Nakili




Marko 4:2
15 Marejeleo ya Msalaba  

Wakaja wanafunzi, wakamwambia, Kwa nini wasema nao kwa mifano?


Akasema nao mengi kwa mifano, akinena, Mpanzi alitoka kwenda kupanda mbegu.


Ikawa, Yesu alipomaliza maneno haya, makutano wakashangaa kwa mafundisho yake:


AKAONDOKA huko akafika mipaka ya Yahudi kwa niia ya ngʼambu ya Yardani; watu wengi wakakutanika tena wakamwendea; akawafundisha tena kama alivyozoea.


AKAANZA kusema nao kwa mifano. Mtu alipanda mizabibu, akazungusha nzio, akachimbia shimo lake shinikizo, akajenga mnara, akapangisha wakulima, akasafiri.


Akawaambia katika mafundisho yake, Jibadharini na waandishi, wapendao kutembea wamevaa mavazi marefu, na kusalimiwa masokoni,


Akawaita, akawaambia kwa mifano, Awezaje Shetani kumfukuza Shetani?


Akawaambia, Ninyi mmejaliwa kuijua siri ya ufalme wa Mungu; hali wale walio nje yote huwawia kwa mifano,


Sikilizeni: Mpanzi alitoka kwenda kupanda;


Bassi kuhani mkuu akamwuliza Yesu khabari za wanafunzi wake, na khabari za mafundisho yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo