Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 4:18 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

18 Na hawa ndio wale wapandwao penye miiba, ni watu walisikiao lile neno,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Watu wengine ni kama zile mbegu zilizoanguka penye miti ya miiba. Huo ni mfano wa wale wanaosikia hilo neno,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Watu wengine ni kama zile mbegu zilizoanguka penye miti ya miiba. Huo ni mfano wa wale wanaosikia hilo neno,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Watu wengine ni kama zile mbegu zilizoanguka penye miti ya miiba. Huo ni mfano wa wale wanaosikia hilo neno,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Lakini wengine, kama mbegu iliyopandwa kwenye miiba, hulisikia lile neno;

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Lakini wengine, kama mbegu iliyopandwa kwenye miiba, hulisikia lile neno;

Tazama sura Nakili




Marko 4:18
6 Marejeleo ya Msalaba  

Nae aliyepandwa penye miiba, huyu ndiye alisikiae lile neno; na shughuli za dunia, na udanganyifu wa mali hulisonga lile neno, likawa halizai.


waki hawana mizizi ndani yao, hali hudumu muda mehache; kiisha ikitokea shidda au udhia kwa sababu ya lile neno, marra huchukizwa.


na shughuli za dunia, na udanganyifu wa mali, na tamaa za mambo mengine zikiingia, hulisonga lile neno, likawa halizai.


Nyingine zikaanguka penye miiba: ile miiba ikakua, ikazisonga, zisizae matunda.


Nazo zilizoangukia miibani, hawa ndio waliosikia, nao wakienda zao husongwa na shughuli, na mali, na anasa za maisha, wasizae kwa utimilifu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo