Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 4:14 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

14 Mpanzi yule hulipanda neno.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Mpanzi hupanda neno la Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Mpanzi hupanda neno la Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Mpanzi hupanda neno la Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Yule mpanzi hupanda neno.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Yule mpanzi hupanda neno.

Tazama sura Nakili




Marko 4:14
13 Marejeleo ya Msalaba  

Killa alisikiae neno la ufalme asifahamu, huja yule mwovu, akaliteka lililopandwa moyoni mwake. Huyu ndiye aliyepandwa njiani.


Akasema nao mengi kwa mifano, akinena, Mpanzi alitoka kwenda kupanda mbegu.


Akajibu, akasema, Azipandiie zile mbegu njema ni Mwana wa Adamu;


Marra wakakusanyika watu wengi isibaki nafasi hatta mlangoni: akasema nao neno lake.


Askawaambia, Hamjui mfano huu? Bassi mifano yote mtaitambuaje?


Hawa ndio walio njiani, lipandwapo neno; nao, wakiisha kusikia, marra huja Shetani, akaliondoa lile neno lililopandwa mioyoni mwao.


Sikilizeni: Mpanzi alitoka kwenda kupanda;


kama walivyotuhadithia wale waliokuwa mashahidi, ua watumishi wa lile neno tokea mwanzo,


Na mfano ndio huu: Mbegu ni neno la Mungu.


Lakini wale waliotawanyika wakaenda huko na huko wakilikhubiri neno.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo