Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 3:4 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

4 Akawaambia, Ni halali siku ya sabato kutenda mema, au kutenda mabaya? kuokoa roho au kuua? Wakanyamaza.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Kisha, akawauliza, “Je, ni halali siku ya Sabato kutenda jambo jema au kutenda jambo baya; kuokoa maisha au kuua?” Lakini wao hawakusema neno.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Kisha, akawauliza, “Je, ni halali siku ya Sabato kutenda jambo jema au kutenda jambo baya; kuokoa maisha au kuua?” Lakini wao hawakusema neno.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Kisha, akawauliza, “Je, ni halali siku ya Sabato kutenda jambo jema au kutenda jambo baya; kuokoa maisha au kuua?” Lakini wao hawakusema neno.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Kisha Isa akawauliza, “Je, ni lipi lililo halali siku ya Sabato: Ni kutenda mema au kutenda mabaya? Ni kuokoa maisha au kuua?” Lakini wao wakanyamaza.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Kisha Isa akawauliza, “Je, ni lipi lililo halali siku ya Sabato: Ni kutenda mema au kutenda mabaya? Ni kuokoa maisha au kuua?” Lakini wao wakanyamaza kimya.

Tazama sura Nakili




Marko 3:4
9 Marejeleo ya Msalaba  

Akamwambia yule mtu mwenye mkono uliopooza, Simama katikati.


Akawakazia macho pande zote kwa ghadhabu, akiona huzuni kwa ajili ya ugumu wa mioyo yao, akamwambia yule mtu. Nyosha mkono wako. Akaunyosha: mkono wake ukapona ukawa mzima kama wa pili:


Wakanyamaza. Kwa maana walikuwa wakibishana wao kwa wao, ni nani aliye mkubwa.


Yesu akawaambia, Nitawaulizeni neno moja. Ni halali siku ya Sabato kutenda mema au kutenda mabaya? kuokoa roho au kuua?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo