Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 3:23 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

23 Akawaita, akawaambia kwa mifano, Awezaje Shetani kumfukuza Shetani?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Hapo Yesu akawaita, akawaambia kwa mifano, “Shetani anawezaje kumfukuza Shetani?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Hapo Yesu akawaita, akawaambia kwa mifano, “Shetani anawezaje kumfukuza Shetani?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Hapo Yesu akawaita, akawaambia kwa mifano, “Shetani anawezaje kumfukuza Shetani?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Basi Isa akawaita na kuzungumza nao kwa mifano akasema: “Shetani awezaje kumtoa Shetani?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Basi Isa akawaita na kuzungumza nao kwa mifano akasema: “Shetani awezaje kumtoa Shetani?

Tazama sura Nakili




Marko 3:23
10 Marejeleo ya Msalaba  

Akasema nao mengi kwa mifano, akinena, Mpanzi alitoka kwenda kupanda mbegu.


Haya yote Yesu aliwaambia makutano kwa mifano; na pasipo mfano hakuwaambia neno:


Ndipo Yesu akamwambia, Nenda zako, Shetani: kwa maana imeandikwa, Utamsujudia Bwana Mungu wako, nae peke yake utamwabudu.


AKAANZA kusema nao kwa mifano. Mtu alipanda mizabibu, akazungusha nzio, akachimbia shimo lake shinikizo, akajenga mnara, akapangisha wakulima, akasafiri.


Na ufalme nkilitinika juu ya nafsi yake ufalme ule hauwezi kusimama;


Akawaambia, Ninyi mmejaliwa kuijua siri ya ufalme wa Mungu; hali wale walio nje yote huwawia kwa mifano,


Akawafundisha mengi kwa mifano, akawaambia katika mafundisho yake,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo