Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 3:22 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

22 Waandishi walioshuka kutoka Yahudi wakanena, Ana Beelzebul, na kwa uwezo wa mkuu wa pepo awafukuza pepo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

22 Nao waalimu wa sheria waliokuwa wametoka Yerusalemu, wakasema, “Ana Beelzebuli! Tena, anawafukuza pepo kwa nguvu ya mkuu wa pepo.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

22 Nao waalimu wa sheria waliokuwa wametoka Yerusalemu, wakasema, “Ana Beelzebuli! Tena, anawafukuza pepo kwa nguvu ya mkuu wa pepo.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

22 Nao waalimu wa sheria waliokuwa wametoka Yerusalemu, wakasema, “Ana Beelzebuli! Tena, anawafukuza pepo kwa nguvu ya mkuu wa pepo.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

22 Walimu wa Torati walioteremka kutoka Yerusalemu walisema, “Amepagawa na Beelzebuli! Anatoa pepo wachafu kwa nguvu ya mkuu wa pepo wachafu!”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

22 Walimu wa Torati walioteremka kutoka Yerusalemu walisema, “Amepagawa na Beelzebuli! Anatoa pepo wachafu kwa kutumia mkuu wa pepo wachafu!”

Tazama sura Nakili




Marko 3:22
14 Marejeleo ya Msalaba  

Yamtosha mwanafunzi kuwa kama mwalimu wake, na mtumishi kuwa kama bwana wake. Ikiwa wamemwita mwenye nyumba Beelzebul, je, si zaidi wale walio nyumbani mwake?


Maana Yohana alikuja, hali wala hanywi, wakanena. Yuna pepo.


Lakini Mafarisayo waliposikia, wakasema, Huyu hafukuzi pepo, illa kwa uweza wa Beelzebul mkuu wa pepo.


NDIPO waandishi na Mafarisayo toka Yerusalemi wakamwendea Yesu wakinena,


Lakini Mafarisayo wakanena, Kwa mkuu wa pepo afukuza pepo.


KIISHA Mafarisayo na baadhi ya waandishi waliotoka Yerusalemi wakakusanyika mbele yake,


Wengine wao wakasema, Kwa Beelzebul, mkubwa wa pepo atoa pepo.


Hatta siku moja ya siku zile alikuwa akifundisha, na Mafarisayo na waandishi wameketi, waliokuwa wametoka katika killa kijiji cha Galilaya, na cha Yahudi, na Yerusalemi; uweza wa Bwana ulikuwa pamoja nae apate kuwaponya.


Bassi ilikuwa siku kuu ya kutabaruku huko Yerusalemi; ni wakati wa baridi.


Makutano wakajibu, wakasema, Una pepo; ni nani anaetafuta kukuua?


Wayahudi wakajibu wakamwambia, Hatuneni vema sisi kwamba wewe u Msamaria, na una pepo?


Bassi Wayahudi wakamwambia, Sasa tumefahamu ya kuwa una pepo; Ibrahimu amekufa na manabii, na wewe wasema, Mtu akilishika neno langu, hataonja mauti kabisa hatta milele.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo