Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 3:19 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

19 na Yuda Iskariote, ndiye aliyemsaliti.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Yuda Iskarioti ambaye alimsaliti Yesu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Yuda Iskarioti ambaye alimsaliti Yesu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Yuda Iskarioti ambaye alimsaliti Yesu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 na Yuda Iskariote aliyemsaliti Isa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 na Yuda Iskariote aliyemsaliti Isa.

Tazama sura Nakili




Marko 3:19
13 Marejeleo ya Msalaba  

Simon Kananayo, na Yuda Iskariote, ndiye aliyemsaliti.


Hatta alipokuwa akisema, Yuda, mmoja wa wale thenashara akaja, na pamoja nae makutano mengi, wana panga na marungu, wametoka kwa makuhani wakuu na wazee wa watu.


na Andrea, na Filipo, na Bartolomayo, na Mattayo, na Tomaso, na Yakobo wa Alfayo, na Thaddayo na Simon Mkanani,


Kiisha wakaingia nyumbani; makutano wakakusanyika tena, wao wenyewe wasiweze kula hatta mkate.


Wakafika Kapernaum: hatta alipokuwa nyumbani, akawauliza, Mlishindania nini njiani?


Hatta wakati wa chakula cha jioni, Shetani alipokwisha kumtia Yuda, mwana wa Simon Iskariote, moyo wa kumsaliti,


Lakini kuna wengine miongoni mwemi wasioamini. Maana Yesu alijua tangu mwanzo ni nani wasioamini na ni nani atakaenisaliti.


Alimnena Yuda, mwana wa Simon Iskariote: maana huyu ndiye atakaemsaliti: nae ni mmoja wa wathenashara.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo