Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 3:16 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

16 Na Simon akampa jina, Petro;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Basi, hao kumi na wawili walioteuliwa ndio hawa: Simoni (ambaye Yesu alimpa jina, Petro),

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Basi, hao kumi na wawili walioteuliwa ndio hawa: Simoni (ambaye Yesu alimpa jina, Petro),

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Basi, hao kumi na wawili walioteuliwa ndio hawa: Simoni (ambaye Yesu alimpa jina, Petro),

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Hawa ndio wale kumi na wawili aliowachagua: Simoni (ambaye alimwita Petro);

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Hawa ndio wale kumi na wawili aliowachagua: Simoni (ambaye alimwita Petro);

Tazama sura Nakili




Marko 3:16
14 Marejeleo ya Msalaba  

Nae akipita kando ya bahari ya Galilaya, akamwona Simon na Andrea ndugu yake, wakitupa jarife baharini; kwa maana walikuwa wavuvi.


na wawe na mamlaka ya kufukuza pepo.


na Yakobo, mwana wa Zebedayo, na Yohana ndugu yake Yakobo, akawapa jina, Boanerge, maana yake, wana wa ngurumo,


Ulipokuwa mchana akawaita wanafunzi wake: akachagua watu thenashara miongoni mwao, ambao aliwaita mitume.


Akampeleka kwa Yesu. Yesu akamtazama, akasema, Wewe Simon, mwana wa Yona, utakwitwa Kefa (tafsiri yake, Petro).


Hatta walipoingia, wakapanda orofani, walipokuwa wakikaa; Petro, na Yakobo, na Yohana, na Andrea, Filipo na Tomaso, Bartolomayo na Mattayo, Yakobo wa Alfayo, na Simon Zelote, na Yuda wa Yakobo.


Bassi, nasema neno hili, ya kwamba killa mtu wa kwenu husema, Mimi wa Paolo, na mimi wa Apollo, na mimi wa Kefa, na mimi wa Kristo.


Kwa maana vyote ni vyenu; ikiwa ni Paolo, au Apollo, au Kefa, au dunia, au uzima, au mauti, au vile vilivyo sasa, au vile vitakavyokuwa,


Hatuna uwezo kuchukua pamoja nasi mke aliye ndugu, kama wao mitume wengine, na ndugu wa Bwana, na Kefa?


SIMON PETRO, mtumwa na mtume wa Yesu m Kristo, kwao waiiopata imani moja na sisi, yenye thamani, katika haki ya Mungu wetu, na Mwokozi wetu Yesu Kristo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo