Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 3:10 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

10 Maana aliponya wengi, hatta wote waliokuwa na misiba wakamrukia wapate kumgusa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Alikuwa amewaponya watu wengi, na wagonjwa wote wakawa wanamsonga ili wapate kumgusa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Alikuwa amewaponya watu wengi, na wagonjwa wote wakawa wanamsonga ili wapate kumgusa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Alikuwa amewaponya watu wengi, na wagonjwa wote wakawa wanamsonga ili wapate kumgusa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Kwa kuwa alikuwa amewaponya wagonjwa wengi, wale wenye magonjwa walikuwa wanasukumana ili wapate kumgusa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Kwa kuwa alikuwa amewaponya wagonjwa wengi, wale wenye magonjwa walikuwa wanasukumana ili wapate kumgusa.

Tazama sura Nakili




Marko 3:10
18 Marejeleo ya Msalaba  

Nae Yesu akijua haya akatoka huko: makutano mengi wakamfuata; akawaponya wote,


Yesu akatoka, akaona makutano mengi, akawahurumia, akawaponya wagonjwa wao.


wakamsihi waguse hatta pindo la vazi lake; na wote waliogusa wakaponywa kabisa.


Yesu akazunguka katika Galilaya yote, akifundisha katika sunagogi zao, na kuikhubiri injili ya ufalme, na kuponya ugonjwa na udhaifu wa killi namna katika watu.


Akamwambia, Binti imani yako imekuponya, enenda zako kwa amani, ukawe mzima, usiwe na msiba wako tena.


Na killa alikokwenda, akiingia vijijini, au mijini, au mashambani, wakawaweka wagonjwa sokoni, wakamsihi waguse walao upindo wa vazi lake: nao wote waliomgusa wakapona.


Wakalika Bethsaida, wakamletea kipofu, wakamsihi amguse.


Akaingia chombo kimoja, kilichokuwa cha Simon, akamtaka asogeze kidogo kutoka pwani. Akakaa, akawafundisha makutano katika chombo.


Makutano yote wakatafuta kumgusa: kwa maana nguvu zilikuwa zikimtoka, zikawaponya wote.


Na mtumishi wa akida mmoja alikuwa hawezi, karibu kufa, nae ni mtu aliyependwa nae sana.


Saa ileile akawaponya watu wengi maradhi zao, na misiba yao, na pepo wabaya: na vipofu wengi akawakarimia kuona.


hatta katika njia kuu hutoa nje wagonjwa, huwaweka juu ya mifarashi na vitanda, illi, Petro akija, kivuli chake tu kimtie kivuli mmojawapo wao.


Maana yeye ambae Bwana humpenda, humrudi, Nae humpiga killa mwana amkubaliye.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo