Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 3:1 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

1 AKAINGIA tena katika sunagogi: na palikuwako huko mtu mwenye mkono umepooza:

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Yesu aliingia tena katika sunagogi na mle ndani mlikuwa na mtu aliyekuwa na mkono uliopooza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Yesu aliingia tena katika sunagogi na mle ndani mlikuwa na mtu aliyekuwa na mkono uliopooza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Yesu aliingia tena katika sunagogi na mle ndani mlikuwa na mtu aliyekuwa na mkono uliopooza.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Isa akaingia tena ndani ya sinagogi, na kulikuwa na mtu aliyepooza mkono.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Isa akaingia tena ndani ya sinagogi, na huko palikuwa na mtu aliyepooza mkono.

Tazama sura Nakili




Marko 3:1
7 Marejeleo ya Msalaba  

Wakashika njia hatta Kapernaum; na siku ya sabato akaingia sunagogi, akafundisha.


Akawa akikhubiri katika masuuagogi yao, katika inchi yote ya Galilaya, na kufukuza pepo.


Bassi yeye aliye Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa Sabato.


Ndani ya hayo jamii kubwa ya wagonjwa walikuwa wamelala, vipofu, viwete, na waliopooza, wakingoja maji yachemke.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo